Jumla ya Wainjilisti wa vitabu 798 kanisa la Waadventista Wasabato watunukiwa vyeti vya Utumishi.
Na Barnabas kisengi Kahama Shinyanga.January 31 2021 Katika kuendelea kusongesha mbele kazi ya utume,Jumla ya wainjilisti wa vitabu 798 kanisa la Waadventista Wasabato jimbo la Nyanza ukanda wa dhahabu- Nyanza Gold Belt Field(NGBF) wametunukiwa vyeti kutokana na kazi nzuri ya usambazaji wa vitabu vya utume. Akizungumza leo January 31,2021 katika hitimisho la kambi la pamoja
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed